MABATI AINA YA LUGOBA: MAWASILIANO ZAIDI 0710135566



LUGOBA/AINA YA KIGAE 
Hii ni aina ya Bati ambayo hufananishwa na Muundo wa kigae kwa sababu ya mikunjo yake, watu wengi wamekalili kuwa Kigae ni Lazima kiwe kipande kimoja kimoja kama vile vya zamani, teknolojia imebadilika kwa Sasa tuna Aina ya Kigae ambayo Iko kama Bati ya kwaida kuisogelea japo ukiiezeka kwa juu wengi wanaweza Dhani Umeweka vipande vipande.

Sisi Tunapatikana Dar es salaam lakini pia tunasafirisha Mikoa yote Tanzaia Bure.
KUWASILIANA NASI BONYEZA ALAMA YA WHATSAPPπŸ‘‡


  : 0710135566

 

Comments